Sunday, 23 August 2009

hasheem thabeet ndani ya basketball ground UDSM

chuo kikuu cha mlimani-UDSM
wadada walikuepo kumshuhudia hasheem akidunda kikapu

edwin nae aliapo ..


kumbe na huyu alikuepooo pia..



mjamaa mrefuuuu...chek chek aisee....




watu kibao waliepo siku hiyo ya jmosi kumcheck mtu wao wa NBA





hasheem akiingiza mpira kikapuni kama ananawa vile






fid ,mussa(eatv) , mchomvu







mchomvu ,lamaar na ngosha the don(fid Q) walikuwepo





djchoka , b12 na mjamaa walikuepo





DJ-mdogo wa hasheem na washkaj










hasheem ndani ground











watu wewee kitu wavuni












washkaj wakigonga pic na mdogo wa hasheem(alikua dj siku hiyo)













ndani ya ground














kama NBA hiivii...












kikapu changu wazeeiyaaaah


















hasheem na wazeiyaaah


















No comments:

Post a Comment

People visited