Sunday, 22 November 2009
Sunday, 8 November 2009
BONGE LA HARUSI AFRICAN WEDDIN STYLE
'mwenzangu' check birthday ya NYOTA mahiri wa filamu nchini, Aunt Ezekiel Jujuman,
NYOTA mahiri wa filamu nchini, Aunt Ezekiel Jujuman, alifanya sherehe ya kutimiza umri wa miaka 23 nyumbani kwake Sinza Mori jijini Dar es Salaam. Sherehe hiyo ilikuwa bomba mbaya, maandalizi yake yalikuwa babu kubwa na kuwahusisha wasanii wenzake kibao wa Bongo Movies. na ishu inasomeka kama ifutavyo:
Aunt Ezekiel akiongea na Maimartha Jesse aliyekuwa mshereheshaji wa shughuli hiyo (MC).
Kimwana Manywele namba 2-mwaka 2007/2008, Husna Idd, akionyesha umahiri wake wa kukata mauno katika sherehe hiyo
Maimartha Jesse na washiriki wengine wakisakata rumba kwa pamoja
Aunt Ezekiel akiongea na Maimartha Jesse aliyekuwa mshereheshaji wa shughuli hiyo (MC).
Kimwana Manywele namba 2-mwaka 2007/2008, Husna Idd, akionyesha umahiri wake wa kukata mauno katika sherehe hiyo
Maimartha Jesse na washiriki wengine wakisakata rumba kwa pamoja
Subscribe to:
Comments (Atom)

























